Goli kipa wa klabu ya Manchester United Mhisipania David Degea amesema ameanza kumshauri Mhisipania mwenzie Cesc Fabregas kujiunga nae katika klabu ya Man u ya nchini Uingereza.
Fabregas ambaye ni mchezaji wa klabu ya Barcelona kumekua na taarifa kuwa anahitaji kuhama badada ya msimu huu uliomalizika.
"Nimekua nikimshawishi Fabregas kujiunga na Man u". alisikika akisema Goli kipa huyo wa Man u alipokua kwenye mahojiano na kituo kimoja cha luninga nchini Hispania.
Degea anakutana na wakati kumgumu kumshauri Fabregas kuiacha klabu yake ya Hispania FC BARCELONA kujiunga na klabu yake ya Man u kwani msimu uliopita aliyekua kocha wa Man u David Moyes Tayari alishashindwa.
Kocha wazamani wa Fabrigas ambaye ndiye kocha wa Arsenal, Arsene Wenger amekua akimhitaji kumrudisha kikosini, hivyo ni upinzani mkubwa watakao kutana nao Man u kumshawishi kujiunga nao chini ya kocha wao mpya Van Gaal.
Ushawishi wa Degea unawapa nafasi kubwa Man u kumtwaa Febregas kutokana na ukweli kuwa klabu ya Arsenal inao viungo wa katikati tayari, kama Ozil, Wilshire na Cazorla, ambao wataleta swali gumu la wapi au nafasi gani Fabregas atacheza?
Friday, 30 May 2014
SAGNA ATANGAZA KUIACHA ARSENAL MSIMU UJAO
Beki wa Arsenal na timu ya taifa ya Ufaransa Bacary Sagna ametangaza rasmi kuiacha klabu hiyo ya jijini London nchini Uingereza.
akizungumza na gazeti la French newspaper L’Equipe la nchini kwao alisema amefikia uamuzi wa kuiacha klabu ya Arsenal aliyoichezea kwa takribani miaka 10 baada ya kutofikia muafaka wa mazungumzo kati yake na klabu.
Vilabu kama Liverpool na Man city vimekua vikimuhitaji beki huyo na Man city wao wakifikia mbali kwa kumuaidi donge nono endapo atjiunga nao msimu ujao wa ligi kuu ya nchini Uingereza.
"Sio siri tena kwa sasa ntaondoka Arsenal, nimejaribu niwezavyo lakini sijafanikiwa kutokana na mazungumzo baina yangu mimi na klabu kutoenda sawa, napokea simu nyingi nikihitajika timu kadha wa kadha mpaka zinaniumisha kichwa, lakini nategemea kufikia muafaka kabla ya kwenda kombe la Dunia". Alisema Sagna
Kwa upande wao Arsenal watamkosa kwa kiasi kikubwa beki huyo kwani kwa kipindi chote alichokuepo klabuni hapo amekua ni msaada mkubwa kwa klabu hiyo ya jijini London.
akizungumza na gazeti la French newspaper L’Equipe la nchini kwao alisema amefikia uamuzi wa kuiacha klabu ya Arsenal aliyoichezea kwa takribani miaka 10 baada ya kutofikia muafaka wa mazungumzo kati yake na klabu.
Vilabu kama Liverpool na Man city vimekua vikimuhitaji beki huyo na Man city wao wakifikia mbali kwa kumuaidi donge nono endapo atjiunga nao msimu ujao wa ligi kuu ya nchini Uingereza.
"Sio siri tena kwa sasa ntaondoka Arsenal, nimejaribu niwezavyo lakini sijafanikiwa kutokana na mazungumzo baina yangu mimi na klabu kutoenda sawa, napokea simu nyingi nikihitajika timu kadha wa kadha mpaka zinaniumisha kichwa, lakini nategemea kufikia muafaka kabla ya kwenda kombe la Dunia". Alisema Sagna
Kwa upande wao Arsenal watamkosa kwa kiasi kikubwa beki huyo kwani kwa kipindi chote alichokuepo klabuni hapo amekua ni msaada mkubwa kwa klabu hiyo ya jijini London.
DI MARIA ALIA NA REAL MADRID KUTAKA KUMUUZA TOTTENHAM
Mshambuliaji wa pembeni (winga) wa Real madrid Angel Di maria amelia na kilabu yake baada ya kuzuka uvumi kuwa anataka kuuzwa kwenye klabu ya soka ya nchini Uingereza ya Tottenham.
"Inaumiza sana kama mchezaji siku zote unajitahidi kufanya uwezavyo kuisadia kilabu yako lakini mwisho wa siku unasikia kwamba kunampango wakuuzwa Tottnham". alilalamika Di maria wakati akizungumza na Gazeti la Marca.
Di maria kwa sasa ni mchezaji aliye katika kiwango cha juu kutokana na kuonyesha uwezo wake katika michezo mbali mbali ya Real Madrid ukiwemo dhidi ya wapinzani wao Barcelona na ule wa fainali ya ligi ya mabingwa ulaya yaani UEFA.
Msimu iliopita alikua ni mchezaji aliyetegemewa kuhama Real Madrid lakini mwisho wa siku hakuwa yeye kwani tulishudia kuhama kwa mchezaji Mesuit Ozil kuelekea Arsenal na Di maria akibaki kikosini,.
Di Maria amebaki kusema kuwa mstakabali wa maisha yake ndani ya Santiago Bernabeu upo chini ya Real Madrid, endapo wataendelea kumhitaji na kumtumia kama mchezaji wao ama watahamua kumuuza.
"Nilizungumza na kocha nikamweleza nahitaji kuendelea kuwepo pia na yeye alisema ananihitaji uwepo wangu, aliniambia ananitegemea sasa kazi ilibaki kwangu kama mchezaji". alisisitiza Di maria.
Pia Di maria akusita kumsifia kocha wake Ancheloti nakusema kuwa, kajifunza mengi chini ya ualimu wake na alifanya maamuzi sahihi kuendelea kubaki ndani ya Real Madrid.
Alisisitiza kuwa afikilii baadae yake kwa sasa kwani ipo chini ya kilabu yake ya Real Madrid licha ya kukubali uwepo wa timu kubwa zinazo muhitaji lakini awezi sema chochote akisubiri kilabu kusema kama inahitaji aendelee kuwepo ama aondoke.
"Inaumiza sana kama mchezaji siku zote unajitahidi kufanya uwezavyo kuisadia kilabu yako lakini mwisho wa siku unasikia kwamba kunampango wakuuzwa Tottnham". alilalamika Di maria wakati akizungumza na Gazeti la Marca.
Di maria kwa sasa ni mchezaji aliye katika kiwango cha juu kutokana na kuonyesha uwezo wake katika michezo mbali mbali ya Real Madrid ukiwemo dhidi ya wapinzani wao Barcelona na ule wa fainali ya ligi ya mabingwa ulaya yaani UEFA.
Msimu iliopita alikua ni mchezaji aliyetegemewa kuhama Real Madrid lakini mwisho wa siku hakuwa yeye kwani tulishudia kuhama kwa mchezaji Mesuit Ozil kuelekea Arsenal na Di maria akibaki kikosini,.
Di Maria amebaki kusema kuwa mstakabali wa maisha yake ndani ya Santiago Bernabeu upo chini ya Real Madrid, endapo wataendelea kumhitaji na kumtumia kama mchezaji wao ama watahamua kumuuza.
"Nilizungumza na kocha nikamweleza nahitaji kuendelea kuwepo pia na yeye alisema ananihitaji uwepo wangu, aliniambia ananitegemea sasa kazi ilibaki kwangu kama mchezaji". alisisitiza Di maria.
Pia Di maria akusita kumsifia kocha wake Ancheloti nakusema kuwa, kajifunza mengi chini ya ualimu wake na alifanya maamuzi sahihi kuendelea kubaki ndani ya Real Madrid.
Alisisitiza kuwa afikilii baadae yake kwa sasa kwani ipo chini ya kilabu yake ya Real Madrid licha ya kukubali uwepo wa timu kubwa zinazo muhitaji lakini awezi sema chochote akisubiri kilabu kusema kama inahitaji aendelee kuwepo ama aondoke.
BALOTELLI AWABEZA WAINGEREZA KOMBE LA DUNIA BRAZIL
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Italia Mario Ballotelli amekibeza kikosi cha kocha Roy Hudgson kuwa hakiogopeki kombe ladunia mwaka huu na pia hategemei kuwa wapinzani wakubwa na washindani kwenye michuano hiyo.
akihojiwa na gazeti la Daily Mail baloteli alisema afikilii kama timu ya taifa ya Uingereza kuwa mpinzani mkubwa na mshindi wa kombe la Dunia mwaka huu licha ya kuwa na wachezaji wazuri.
"Sifikilii Uingereza kuwa washindi wa kombe la Dunia mwaka huu licha ya kuwa na wachezaji wazuri lakini si washindani wa Italia". Alinukuliwa Balotelli.
aliendelea kusema kuwa hamaanishi kuwa Italia ni Timu bora katika kombe hili la Dunia bali wanawachezaji wenye morali ya kucheza na kuishangaza Dunia kuliko kikosi cha waingereza. alendelea kubeza kuwa wanawachezaji ambao walishashinda kombe la Dunia wakati waingereza hawana.
Uingereza watacheza na Italia mechi yao ya kwanza tarehe 14 Juni kabla hawajacheza na Uruguay na Kosta rika katika michezo itakayofuatia ya kundi D. Waingereza wacheza na Italia akikumbuka kuondoshwa na hao Waitaliano katika michuano ya EURO 2012 kwa mikwaju ya penati baada ya kudroo 0-0 kwenye hatua ya makundi.
Balotelli alimaliza kwa kusema Waingereza wanawachezaji wawili au watatu wakuogopwa kwenye kombe la Dunia lakini sio kikosi kizima cha Uingereza. wanajiamini na wana uhakika wa kushinda michezo yao.
source sky sport
akihojiwa na gazeti la Daily Mail baloteli alisema afikilii kama timu ya taifa ya Uingereza kuwa mpinzani mkubwa na mshindi wa kombe la Dunia mwaka huu licha ya kuwa na wachezaji wazuri.
"Sifikilii Uingereza kuwa washindi wa kombe la Dunia mwaka huu licha ya kuwa na wachezaji wazuri lakini si washindani wa Italia". Alinukuliwa Balotelli.
aliendelea kusema kuwa hamaanishi kuwa Italia ni Timu bora katika kombe hili la Dunia bali wanawachezaji wenye morali ya kucheza na kuishangaza Dunia kuliko kikosi cha waingereza. alendelea kubeza kuwa wanawachezaji ambao walishashinda kombe la Dunia wakati waingereza hawana.
Uingereza watacheza na Italia mechi yao ya kwanza tarehe 14 Juni kabla hawajacheza na Uruguay na Kosta rika katika michezo itakayofuatia ya kundi D. Waingereza wacheza na Italia akikumbuka kuondoshwa na hao Waitaliano katika michuano ya EURO 2012 kwa mikwaju ya penati baada ya kudroo 0-0 kwenye hatua ya makundi.
Balotelli alimaliza kwa kusema Waingereza wanawachezaji wawili au watatu wakuogopwa kwenye kombe la Dunia lakini sio kikosi kizima cha Uingereza. wanajiamini na wana uhakika wa kushinda michezo yao.
source sky sport
LIVERPOOL MBIONI KUMNASA BEKI WA KUSHOTO WA SEVILLA ALBERTO MORENO
Kilabu ya soka ya LIVERPOOL ipo mbioni kumnasa beki wa kushoto wa timu ya sevilla ya huko hisipania.
LIVERPOOL wametoa kiasi cha paundi milioni 20 kama ofa ya kumnsa beki huyo ambapo wameweka mezani tayari ofa ya kiasi cha paundi 16 milioni na kumtoa mchezaji wao SUSO kwa mkopo kwenye kilabu ya sevilla.
LIVERPOOL walimaliza msimu wa ligi kuu ya uingereza wakiwa wa pili nyuma ya MAN CITY walioibuka vinala wa ligi hiyo.
kwa sasa kocha wa LIVERPOOL anamtumia Flanagan kama beki wa kushoto ambaye kimchezo anaonekana kuwa bora zaidi na imara upande wa kulia, sasa ujio wa MORENO ndani ya kikosi cha BRENDEN ROGERS utakua msaada mkubwa kwa msimu ujao ambao wanaitaji mafanikio zaidi kuliko ya msimu huu.
Mhisipania MORENO ameweza kufunga magoli matatu kati ya magoli 29 waliyoyapata kilabu ya sevilla msimu huu wakimaliza katika nafasi ya tano ya ligi ya hisipania yaani LA LIGA.
Moreno ni mmoja wa wachezaji mbadala wa kikosi cha Vicente Del Bosque kinachojifua kujiandaa na kombe la Dunia linaloanza mwezi juni huko Brazil. endapo Moreno atapata nafasi ya kuichezea timu ya taifa na kufanya vizuri basi ataipa mwanya timu yake ya Sevilla kuongeza dau la kumuuza.
Moreno anasifika kwa kasi na uwezo mkubwa wa kukimbia na mpira kushambulia lakini pia bila kuyasahau majukumu yake ya ukabaji.
Anaonekana kuwa msaada mkubwa kwa Liverpool kwa ataongeza nguvu safu ya ulinzi na aina yake ya uchezaji ni upendeleo wa kocha wa liverpool Brenden Rogers ambaye kikosi chake kinafunga sana na kuruhusu pia kufungwa goli nyingi pia kutokana na safu ya ulimzi kulega kulega.
LIVERPOOL wametoa kiasi cha paundi milioni 20 kama ofa ya kumnsa beki huyo ambapo wameweka mezani tayari ofa ya kiasi cha paundi 16 milioni na kumtoa mchezaji wao SUSO kwa mkopo kwenye kilabu ya sevilla.
LIVERPOOL walimaliza msimu wa ligi kuu ya uingereza wakiwa wa pili nyuma ya MAN CITY walioibuka vinala wa ligi hiyo.
kwa sasa kocha wa LIVERPOOL anamtumia Flanagan kama beki wa kushoto ambaye kimchezo anaonekana kuwa bora zaidi na imara upande wa kulia, sasa ujio wa MORENO ndani ya kikosi cha BRENDEN ROGERS utakua msaada mkubwa kwa msimu ujao ambao wanaitaji mafanikio zaidi kuliko ya msimu huu.
Mhisipania MORENO ameweza kufunga magoli matatu kati ya magoli 29 waliyoyapata kilabu ya sevilla msimu huu wakimaliza katika nafasi ya tano ya ligi ya hisipania yaani LA LIGA.
Moreno ni mmoja wa wachezaji mbadala wa kikosi cha Vicente Del Bosque kinachojifua kujiandaa na kombe la Dunia linaloanza mwezi juni huko Brazil. endapo Moreno atapata nafasi ya kuichezea timu ya taifa na kufanya vizuri basi ataipa mwanya timu yake ya Sevilla kuongeza dau la kumuuza.
Moreno anasifika kwa kasi na uwezo mkubwa wa kukimbia na mpira kushambulia lakini pia bila kuyasahau majukumu yake ya ukabaji.
Anaonekana kuwa msaada mkubwa kwa Liverpool kwa ataongeza nguvu safu ya ulinzi na aina yake ya uchezaji ni upendeleo wa kocha wa liverpool Brenden Rogers ambaye kikosi chake kinafunga sana na kuruhusu pia kufungwa goli nyingi pia kutokana na safu ya ulimzi kulega kulega.
Subscribe to:
Comments (Atom)




