KITAZAME KIKOSI CHA BRAZIL KINACHOANZA LEO DHIDI YA CROATIA
Leo ndo leo ufunguzi wa kombe la Dunia ndani ya nchi ya Brazil ambapo tutawashudia wenyeji Brazil wawaalika Croatia kufungua rasmi michuano hiyo. Mechi hiyo inakadiliwa kuchezwa mishale ya saa 5 usiku kwa saa za Afrika Mashariki
No comments:
Post a Comment